Zaburi 79:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wamemwaga damu yao kama majiKuzunguka Yerusalemu pande zote, wala hakuna mtu wa kuzika.+ Yeremia 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Sema, ‘Yehova asema hivi: “Maiti za wanadamu zitaanguka kama mbolea juu ya uso wa uwanja na kama mafungu ya nafaka iliyokatwa hivi karibuni nyuma ya mvunaji, bila yeyote wa kukusanya.”’”+
22 “Sema, ‘Yehova asema hivi: “Maiti za wanadamu zitaanguka kama mbolea juu ya uso wa uwanja na kama mafungu ya nafaka iliyokatwa hivi karibuni nyuma ya mvunaji, bila yeyote wa kukusanya.”’”+