14 “Kusanyikeni pamoja, ninyi nyote, msikie.+ Ni nani kati yao ameyatangaza mambo haya? Yehova mwenyewe amempenda.+ Atafanya mapendezi yake juu ya Babiloni,+ na mkono wake mwenyewe utakuwa juu ya Wakaldayo.+
14 Utafanywa imara katika uadilifu.+ Utakuwa mbali sana na ukandamizaji+—kwa maana hutaogopa yeyote—na jambo lolote lenye kutia hofu, kwa maana halitakuja karibu nawe.+