Yohana 12:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yule ambaye hunipuuza wala hapokei maneno yangu ana wa kumhukumu. Neno+ ambalo nimesema ndilo litakalomhukumu katika siku ya mwisho; Matendo 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini alipokuwa akiongea juu ya uadilifu+ na kujizuia+ na hukumu+ itakayokuja, Feliksi akaogopa na kujibu: “Kwa wakati huu wa sasa ondoka uende, lakini nitakapopata wakati unaofaa nitakuita tena.”
48 Yule ambaye hunipuuza wala hapokei maneno yangu ana wa kumhukumu. Neno+ ambalo nimesema ndilo litakalomhukumu katika siku ya mwisho;
25 Lakini alipokuwa akiongea juu ya uadilifu+ na kujizuia+ na hukumu+ itakayokuja, Feliksi akaogopa na kujibu: “Kwa wakati huu wa sasa ondoka uende, lakini nitakapopata wakati unaofaa nitakuita tena.”