Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa+—

      Watalipa ushuru.+

      Wafalme wa Sheba na wa Seba—

      Watatoa zawadi.+

  • Isaya 49:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wafalme watakuwa watunzaji kwa ajili yako,+ na binti zao wa kifalme watakuwa wanawake wenye kutunza kwa ajili yako.+ Watakuinamia wewe kifudifudi, nao watayaramba mavumbi ya miguu yako;+ nawe utajua kwamba mimi ni Yehova, ambaye wale wanaonitumaini mimi hawataona aibu.”+

  • Isaya 60:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na malango yako kwa kweli yataachwa wazi sikuzote;+ hayatafungwa wakati wa mchana wala wakati wa usiku, ili kukuletea mali za mataifa,+ na wafalme wao watakuwa wenye kuongoza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki