Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+ Methali 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu walichukia ujuzi,+ nao hawakuchagua kumwogopa Yehova.+ Methali 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kiongozi anayepungukiwa na utambuzi wa kweli pia ana mazoea mengi ya upunjaji,+ lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki+ atarefusha siku zake.
16 Kiongozi anayepungukiwa na utambuzi wa kweli pia ana mazoea mengi ya upunjaji,+ lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki+ atarefusha siku zake.