Zaburi 82:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Iweni waamuzi kwa ajili ya mtu wa hali ya chini na mvulana asiye na baba.+Kwa mtu mwenye kuteseka na maskini, mtendeeni haki.+ Methali 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+ Isaya 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nanyi mtafanya nini katika ile siku ya kukaziwa uangalifu+ na wakati wa uharibifu, utakapokuja kutoka mbali?+ Je, mtamkimbilia nani kupata msaada,+ nanyi mtauacha wapi utukufu wenu,+
3 Iweni waamuzi kwa ajili ya mtu wa hali ya chini na mvulana asiye na baba.+Kwa mtu mwenye kuteseka na maskini, mtendeeni haki.+
23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+
3 Nanyi mtafanya nini katika ile siku ya kukaziwa uangalifu+ na wakati wa uharibifu, utakapokuja kutoka mbali?+ Je, mtamkimbilia nani kupata msaada,+ nanyi mtauacha wapi utukufu wenu,+