Kumbukumbu la Torati 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baada ya hilo Musa mtumishi wa Yehova+ akafa huko katika nchi ya Moabu kulingana na agizo la Yehova.+ Ayubu 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikiwa siku zake zimeamuliwa,+Hesabu ya miezi yake iko kwako;Umeweka amri kwa ajili yake ili asiweze kuvuka. Yohana 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Pandeni mwende kwenye sherehe; mimi bado sipandi kwenda kwenye sherehe hiyo, kwa sababu wakati wangu unaofaa+ bado haujafika kikamili.”+
5 Baada ya hilo Musa mtumishi wa Yehova+ akafa huko katika nchi ya Moabu kulingana na agizo la Yehova.+
5 Ikiwa siku zake zimeamuliwa,+Hesabu ya miezi yake iko kwako;Umeweka amri kwa ajili yake ili asiweze kuvuka.
8 Pandeni mwende kwenye sherehe; mimi bado sipandi kwenda kwenye sherehe hiyo, kwa sababu wakati wangu unaofaa+ bado haujafika kikamili.”+