50 Kisha ufe katika mlima utakaopanda, na kukusanywa kwa watu wako,+ kama vile Haruni ndugu yako alivyokufa katika Mlima Hori+ na kukusanywa kwa watu wake;
2 “Musa mtumishi wangu amekufa;+ basi simama sasa, vuka huu mto Yordani, wewe na watu hawa wote, mwingie katika nchi ambayo ninawapa wao, wana wa Israeli.+