21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”
28 Nawe umpe Yoshua utume+ na kumtia moyo na kumwimarisha, kwa maana yeye ndiye atakayevuka+ mbele ya watu hawa naye ndiye atakayewafanya warithi nchi utakayoiona.’+