3 katika siku ambayo watunzaji wa nyumba+ wanatetemeka, nao wanaume wenye nguvu wameinama,+ na wanawake wanaosaga+ wameacha kufanya kazi kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani+ wameona giza;
7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+