2 Wafalme 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hakika mimi nitaongeza miaka kumi na mitano kwa siku zako, nami nitakukomboa wewe pamoja na jiji hili kutoka katika mkono wa mfalme wa Ashuru, nami nitalilinda+ jiji hili kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+ Isaya 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama ndege wanaoruka, vivyo hivyo Yehova wa majeshi atamlinda Yerusalemu.+ Atamlinda, yeye pia hakika atamkomboa.+ Atamwokoa, pia atamponya.” Isaya 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+
6 Na hakika mimi nitaongeza miaka kumi na mitano kwa siku zako, nami nitakukomboa wewe pamoja na jiji hili kutoka katika mkono wa mfalme wa Ashuru, nami nitalilinda+ jiji hili kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+
5 Kama ndege wanaoruka, vivyo hivyo Yehova wa majeshi atamlinda Yerusalemu.+ Atamlinda, yeye pia hakika atamkomboa.+ Atamwokoa, pia atamponya.”
35 ‘Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+