4 Kwa maana, kwa ajili ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa+ katika Yerusalemu kwa kumsimamisha mwana wake baada yake na kuendelea kulisimamisha Yerusalemu,+
24 “ ‘ “Na mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme juu yao,+ nao wote watakuwa na mchungaji mmoja;+ nao watatembea katika maamuzi yangu ya hukumu,+ na sheria zangu watazishika,+ nao hakika watazifanya.+