Zaburi 41:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mimi, unanitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu;+Utaniweka mbele zako* milele.+ Methali 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayetembea bila kosa ataokolewa,+Lakini yule ambaye njia zake zimepotoka ataanguka ghafla.+