Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na vinilinde,+Kwa maana ninakutumaini wewe.+ Methali 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huwahifadhia wanyoofu hekima inayotumika;Yeye ni ngao kwa wanaotembea kwa utimilifu.+