Zaburi 132:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.
13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.