Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 12:18-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana hamkukaribia kitu kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na dhoruba,+ 19 na mlio wa tarumbeta+ na sauti ya maneno yanayosemwa,+ ambayo watu walipoisikia waliomba kwamba wasiambiwe neno lingine lolote.+ 20 Kwa maana hawakuweza kuivumilia amri hii: “Hata mnyama akiugusa mlima, lazima apigwe mawe.”+ 21 Pia, wonyesho huo ulikuwa wa kutisha sana hivi kwamba Musa akasema: “Ninaogopa na kutetemeka.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki