18 Sasa watu wote walikuwa wakishuhudia ngurumo na radi, sauti ya pembe, na mlima ukifuka moshi; na walipoona mambo hayo walitetemeka na kusimama mbali.+ 19 Basi wakamwambia Musa: “Wewe ongea nasi, tutasikiliza, lakini Mungu asiongee nasi tusije tukafa.”+