10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+
15 Ndipo Yehova akaanza kumvuruga+ Sisera na magari yake yote ya vita na kambi yote kwa makali ya upanga mbele ya Baraka. Mwishowe Sisera akashuka kutoka garini, akaanza kukimbia kwa miguu.