24 Na ikawa kwamba wakati wa kesha la kuamkia asubuhi, Yehova akaanza kuiangalia kambi ya Wamisri kutoka ndani ya nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga+ kambi ya Wamisri.
10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+
6 Na Yehova alikuwa amefanya kambi ya Wasiria isikie+ sauti ya magari ya vita, sauti ya farasi, sauti ya jeshi kubwa,+ hivi kwamba wakaambiana: “Tazama! Mfalme wa Israeli amekodi juu yetu wafalme wa Wahiti+ na wafalme wa Misri+ ili waje juu yetu!”