1 Mambo ya Nyakati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huo ndio uliokuwa mpangilio wao wa utumishi+ walipokuwa wakiingia katika nyumba ya Yehova kulingana na utaratibu uliowekwa na Haruni babu yao, kama Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa amemwamuru.
19 Huo ndio uliokuwa mpangilio wao wa utumishi+ walipokuwa wakiingia katika nyumba ya Yehova kulingana na utaratibu uliowekwa na Haruni babu yao, kama Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa amemwamuru.