1 Mambo ya Nyakati 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wana wa Gershomu walikuwa Shebueli+ akiwa kichwa. 1 Mambo ya Nyakati 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 hata Shebueli+ mwana wa Gershomu mwana wa Musa alikuwa kiongozi juu ya maghala.