Kumbukumbu la Torati 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 jinsi alivyokukuta njiani naye akaanza kupiga upande wa nyuma wale wote waliokuwa wanajikokota nyuma yako, nawe ulikuwa umeishiwa na nguvu na kuchoka; naye hakumwogopa Mungu.+ 2 Samweli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwishowe mfalme na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafika, wakiwa wamechoka. Basi wakajiburudisha huko.+
18 jinsi alivyokukuta njiani naye akaanza kupiga upande wa nyuma wale wote waliokuwa wanajikokota nyuma yako, nawe ulikuwa umeishiwa na nguvu na kuchoka; naye hakumwogopa Mungu.+
14 Mwishowe mfalme na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafika, wakiwa wamechoka. Basi wakajiburudisha huko.+