Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wazalishaji wakamwambia Farao: “Kwa sababu wanawake Waebrania si kama wanawake Wamisri. Kwa sababu wao ni wenye nguvu, wao huwa tayari wamezaa kabla mzalishaji hajaingia kwao.”

  • Yoshua 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ikawa wakati wa kufungwa kwa lango,+ kulipokuwa na giza, wanaume wale wakatoka. Wala sijui walikokwenda. Wafuatilieni haraka, kwa maana mtawafikia.”

  • 1 Samweli 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Sauli akatuma wajumbe wamchukue Daudi, lakini mke wake akasema: “Ni mgonjwa.”+

  • 1 Samweli 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki kuhani: “Mfalme mwenyewe aliniamuru kuhusu habari fulani,+ naye akaniambia, ‘Usiache yeyote ajue lolote kuhusu habari ninayokutuma na kuhusu yale ambayo nimekuamuru.’ Nami nimefanya mapatano ya kukutana mahali fulani pamoja na vijana.

  • Mathayo 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki