20 Watumishi wa Absalomu wakaja kwa mwanamke huyo nyumbani kwake na kumuuliza: “Ahimaazi na Yonathani wako wapi?” Mwanamke huyo akawajibu: “Walipita hapa wakaenda kwenye maji.”+ Kisha wanaume hao wakawatafuta lakini hawakuwapata, basi wakarudi Yerusalemu.