32 Na Barzilai alikuwa mzee sana, akiwa na umri wa miaka 80;+ naye alimwandalia mfalme chakula alipokuwa akikaa Mahanaimu,+ kwa maana alikuwa mwanamume mkuu+ sana.
7 “Nawe uwaonyeshe fadhili zenye upendo wana wa Barzilai+ Mgileadi, nao wawe kati ya wale wanaokula mezani pako;+ kwa maana hivyo ndivyo walivyonikaribia+ wakati nilipokimbia mbele ya Absalomu ndugu yako.+