2 Sasa palikuwa na mtu fulani katika Maoni,+ na kazi yake ilikuwa katika Karmeli.+ Na mtu huyo alikuwa mkuu sana, naye alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa na kazi ya kukata+ kondoo zake manyoya kule Karmeli.
3 Na mifugo+ yake ilikuwa ni kondoo elfu saba na ngamia elfu tatu na jozi mia tano za ng’ombe na punda-jike mia tano, pamoja na kundi kubwa sana la watumishi; na mtu huyo akawa mkuu kuliko watu wote wa Mashariki.+