2 Samweli 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na ikawa kwamba Daudi alipofika kwenye kilele ambapo kwa kawaida watu walikuwa wakimwinamia Mungu, tazama, Hushai+ Mwarki,+ akija kumpokea, kanzu yake ikiwa imeraruliwa na kukiwa na vumbi kichwani pake.+ 2 Samweli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!”
32 Na ikawa kwamba Daudi alipofika kwenye kilele ambapo kwa kawaida watu walikuwa wakimwinamia Mungu, tazama, Hushai+ Mwarki,+ akija kumpokea, kanzu yake ikiwa imeraruliwa na kukiwa na vumbi kichwani pake.+
16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!”