22Basi Daudi akaondoka huko,+ na kukimbilia+ pango+ la Adulamu;+ na ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakasikia habari hiyo, nao wakaondoka, wakashuka kumwendea huko.
19 Baadaye watu wa Zifu+ wakaenda kwa Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi+ karibu nasi katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule Horeshi,+ katika kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kuume wa Yeshimoni?+