Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye mfalme wa Siria alikuwa amewaamuru wale wakuu 32+ wa magari yake, akisema: “Msipigane na mdogo wala na mkuu, ila na mfalme wa Israeli peke yake.”+

  • Zaburi 37:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+

      Naye anamsagia meno yake.+

  • Zaburi 41:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+

      Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+

  • Zaburi 55:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana sikushutumiwa na adui;+

      Kama ndivyo ningaliweza kuvumilia hilo.

      Si mtu anayenichukia vikali aliyejivuna sana dhidi yangu;+

      Kama ndivyo ningaliweza kujificha kutoka kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki