1 Wafalme 20:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.
20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.