1 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+ 2 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.
3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+
18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.