Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+ Luka 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Akamwambia, ‘Ninakuhukumu kutoka kinywani mwako mwenyewe,+ mtumwa mwovu. Ulijua, sivyo, kwamba mimi ni mtu mgumu, ambaye huchukua kile ambacho sikuweka akiba na kuvuna kile ambacho sikupanda?+
22 Akamwambia, ‘Ninakuhukumu kutoka kinywani mwako mwenyewe,+ mtumwa mwovu. Ulijua, sivyo, kwamba mimi ni mtu mgumu, ambaye huchukua kile ambacho sikuweka akiba na kuvuna kile ambacho sikupanda?+