Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+ Malaki 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema. Waroma 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake.+
8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.
21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake.+