33 Na Farao Neko+ akamtia kifungoni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi, ili kumzuia asitawale katika Yerusalemu, kisha akaitoza+ nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu.+
5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+