Yeremia 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi+ akawapeleka uhamishoni kule Babiloni+ wale watu wengine walioachwa ndani ya jiji, na wale waliokimbia ili kujiunga naye, na watu wengine walioachwa. Yeremia 52:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Katika mwaka wa 23 wa Nebukadreza, Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, nafsi 745.+ Nafsi zote zilikuwa 4,600. Ezekieli 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapowatawanya katikati ya mataifa nami kwa kweli niwatawanye katikati ya nchi hizo.+ Ezekieli 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitakutawanya wewe kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi+ hizo, nami nitauharibu uchafu wako kutoka ndani yako.+
9 Na Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi+ akawapeleka uhamishoni kule Babiloni+ wale watu wengine walioachwa ndani ya jiji, na wale waliokimbia ili kujiunga naye, na watu wengine walioachwa.
30 Katika mwaka wa 23 wa Nebukadreza, Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, nafsi 745.+ Nafsi zote zilikuwa 4,600.
15 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapowatawanya katikati ya mataifa nami kwa kweli niwatawanye katikati ya nchi hizo.+
15 Nami nitakutawanya wewe kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi+ hizo, nami nitauharibu uchafu wako kutoka ndani yako.+