Zaburi 90:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Utufanye tushangilie kulingana na siku ambazo umetutesa,+Miaka ambayo tumeona msiba.+ Yeremia 52:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye akaanza kusema naye mambo mema na kukiweka kiti chake cha ufalme juu zaidi ya vile viti vya wafalme wengine waliokuwa pamoja naye katika Babiloni.+
32 Naye akaanza kusema naye mambo mema na kukiweka kiti chake cha ufalme juu zaidi ya vile viti vya wafalme wengine waliokuwa pamoja naye katika Babiloni.+