Zaburi 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+ Zaburi 126:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wale wanaopanda mbegu kwa machozi+Watavuna kwa vigelegele vya shangwe.+ Mathayo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Wenye furaha ni wale wanaoomboleza, kwa kuwa watafarijiwa.+ Yohana 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Ninyi mtalia na kuomboleza, bali ulimwengu utashangilia; mtahuzunika,+ lakini huzuni yenu itageuzwa kuwa shangwe.+
5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+
20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Ninyi mtalia na kuomboleza, bali ulimwengu utashangilia; mtahuzunika,+ lakini huzuni yenu itageuzwa kuwa shangwe.+