14 Na Farao akatuma watu wamwite Yosefu,+ kwamba wamlete upesi kutoka katika tundu la gereza.+ Basi akajinyoa+ na kubadili nguo zake za kujitanda,+ akaingia ndani kwa Farao.
42 Kisha Farao akaivua pete yake rasmi ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akaiweka mkononi mwa Yosefu na kumvalisha mavazi ya kitani bora, naye akaweka mkufu wa dhahabu shingoni mwake.+