10 Naye akaandika kwa jina la Mfalme+ Ahasuero na kutia muhuri+ kwa pete ya mfalme+ na kupeleka barua kwa mkono wa wajumbe waliopanda farasi+ wenye kusafirisha barua wanaotumiwa katika utumishi wa kifalme, wana-farasi wenye mbio,
17 Na jiwe likaletwa na kuwekwa kwenye kinywa cha shimo lile, naye mfalme akalitia muhuri kwa pete yake ya muhuri na kwa pete ya muhuri ya wakuu wake, ili kwamba jambo lolote lisibadilishwe kumhusu Danieli.+