Mathayo 27:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Basi wakaenda na kulilinda kaburi kwa kulitia jiwe muhuri+ na kuweka walinzi. Matendo 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na alipomkamata, akamweka gerezani,+ akamkabidhi kwenye zamu nne za askari-jeshi wanne kila moja ili kumlinda, kwa kuwa alikusudia kumleta mbele ya watu baada ya pasaka.+
4 Na alipomkamata, akamweka gerezani,+ akamkabidhi kwenye zamu nne za askari-jeshi wanne kila moja ili kumlinda, kwa kuwa alikusudia kumleta mbele ya watu baada ya pasaka.+