Luka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+ Matendo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 nao wakawashika mitume na kuwaweka katika kizuizi cha watu wote.+
12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+