Luka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+ Matendo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wakawashika na kuwaweka katika kizuizi mpaka siku iliyofuata,+ kwa maana tayari ilikuwa jioni.
12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+