9 “Kwa habari yenu, jihadharini; watu watawapeleka mahakamani,+ nanyi mtapigwa katika masinagogi+ na kusimamishwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushahidi kwao.+
23 Kwa hiyo, siku iliyofuata, Agripa na Bernike wakaja kwa fahari+ nyingi na kuingia katika chumba cha baraza pamoja na viongozi wa kijeshi na vilevile wanaume waheshimiwa katika jiji, na Festo alipotoa amri, Paulo akaingizwa ndani.
10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+