Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Luka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+ 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+