9 “Kwa habari yenu, jihadharini; watu watawapeleka mahakamani,+ nanyi mtapigwa katika masinagogi+ na kusimamishwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushahidi kwao.+
2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+