Esta 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha mfalme akavua pete yake ya muhuri+ aliyokuwa amempokonya Hamani, akampa Mordekai; naye Esta akamweka Mordekai juu ya nyumba ya Hamani.+ Zaburi 75:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+Humshusha huyu, na kumwinua yule.+ Danieli 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+
2 Kisha mfalme akavua pete yake ya muhuri+ aliyokuwa amempokonya Hamani, akampa Mordekai; naye Esta akamweka Mordekai juu ya nyumba ya Hamani.+
29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvika Danieli mavazi ya zambarau, pamoja na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; nao wakatangaza kumhusu yeye kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+