12 Hata Sedekia+ mfalme wa Yuda nilimwambia kulingana na maneno haya yote,+ nikisema: “Tieni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, mkamtumikie yeye na watu wake, mwendelee kuishi.+
9 Na Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ akawaapia+ wao pamoja na watu wao, akisema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Endeleeni kukaa katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na itakuwa vema kwenu.+