Zaburi 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtegemee Yehova na ufanye mema;+Ukae duniani, na utende kwa uaminifu.+ Yeremia 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘“‘Nalo taifa litakalotia shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni na kwa kweli limtumikie, mimi pia nitaliacha lipumzike juu ya nchi yake,’ asema Yehova, ‘nalo hakika litailima na kukaa ndani yake.’”’”+
11 “‘“‘Nalo taifa litakalotia shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni na kwa kweli limtumikie, mimi pia nitaliacha lipumzike juu ya nchi yake,’ asema Yehova, ‘nalo hakika litailima na kukaa ndani yake.’”’”+