Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova amesema hivi, ‘Yule anayeendelea kukaa ndani ya jiji hili ndiye atakayekufa kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.+ Lakini yule atakayetoka nje kuwaendea Wakaldayo ndiye atakayeendelea kuishi na ndiye ambaye hakika nafsi yake itakuwa kama nyara kwake na ikiwa hai.’+

  • Yeremia 40:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ akawaapia+ wao pamoja na watu wao, akisema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Endeleeni kukaa katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na itakuwa vema kwenu.+

  • Yeremia 42:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ‘Ikiwa bila shaka mtaendelea kukaa katika nchi hii,+ mimi pia nitawajenga ninyi wala sitawabomoa, nami nitawapanda ninyi wala sitawang’oa;+ kwa maana hakika nitaujuta ule msiba ambao nimewaletea ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki