Yeremia 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani akawaapia wao pamoja na wanajeshi wao, akisema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Kaeni katika nchi hii na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na mambo yatawaendea vema.+
9 Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani akawaapia wao pamoja na wanajeshi wao, akisema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Kaeni katika nchi hii na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na mambo yatawaendea vema.+